TCRA YAANDAA KIKAO KAZI CHA SIKU MBILI KUADHIMISHA SIKU YA REDIO DUNIANI

Na Barnabas Kisengi Dodoma Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania imeandaa kikao kazi cha siku mbili cha kuadhimisha siku ya Redio Duniani na kuongozwa na kauli mbiu inayosema “Mchango wa Sekta ya Utangazaji katika kukuza uchumi wa kidijitali” ikimaanisha sekta ya utangazaji inafanya kazi kwa njia za kisasa za kimtandao zaidi ambapo njia hii inasaidia kuchangia pato